Ni architect professionaly kama unataka design nzuri za nyumba basi kutana nami utafurahia maisha yako yote.
Ushauri natoa bure....kwa dar nimejenga nyumba nyingi sana kigamboni...namaanisha nimedesign na kusimamia ujenzi.
Kikubwa ukiweza kufanya kazi na mimi utapata raha.
.
ila ulichosema ni kweli tupu mkuu Shark