Unatatuaje tatizo la Milango ya mbao kushindwa kufunga hasa ikinyeshewa na mvua?

Unatatuaje tatizo la Milango ya mbao kushindwa kufunga hasa ikinyeshewa na mvua?

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Nimekuwa nikisumbuliwa Sana na milango kushindwa kufunga hasa ikinyeshewa na mvua, ushauri wenu wadau wa nini nifanye!

IMG_20230226_072637.jpg
IMG_20230226_072606.jpg
IMG_20230226_072632.jpg
 
Funika paa ili isinyeshewe maana kila inapopata maji maji huwa inavimba.
 
Piga vanish vizuri hii itasaidia mvua ikipiga maji yanateleza na pia kama kuna uwezekano mlango usiwe sana exposed kwa nje ukawa unanyeshewa na mvua hata kama sio mvua ya upepo..
 
Back
Top Bottom