U UMUNYU JF-Expert Member Joined Jan 28, 2017 Posts 726 Reaction score 564 Feb 26, 2023 #1 Nimekuwa nikisumbuliwa Sana na milango kushindwa kufunga hasa ikinyeshewa na mvua, ushauri wenu wadau wa nini nifanye!
Nimekuwa nikisumbuliwa Sana na milango kushindwa kufunga hasa ikinyeshewa na mvua, ushauri wenu wadau wa nini nifanye!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 26, 2023 #2 Ngoja waje kukupa muongozo...
Banjuka JF-Expert Member Joined May 7, 2021 Posts 1,007 Reaction score 1,922 Feb 26, 2023 #3 Funika paa ili isinyeshewe maana kila inapopata maji maji huwa inavimba.
vannistelrooy JF-Expert Member Joined Jan 31, 2017 Posts 317 Reaction score 652 Mar 17, 2023 #4 Piga vanish vizuri hii itasaidia mvua ikipiga maji yanateleza na pia kama kuna uwezekano mlango usiwe sana exposed kwa nje ukawa unanyeshewa na mvua hata kama sio mvua ya upepo..
Piga vanish vizuri hii itasaidia mvua ikipiga maji yanateleza na pia kama kuna uwezekano mlango usiwe sana exposed kwa nje ukawa unanyeshewa na mvua hata kama sio mvua ya upepo..
greater than JF-Expert Member Joined Sep 22, 2018 Posts 1,653 Reaction score 3,060 Mar 28, 2024 #5 Subiria kipindi cha kiangazi, puluzia water repellent maalum kwa ajili ya mbao. e.d Woodoc