Tusker
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 103
- 132
Kwa wale watumiaji wa tiktok nilikuwa naomba kuuuliza swali, upande wa kutoa mafaranga yako kwa upande wa Tanzania [emoji1241] unatumia account ipi?
Maana nimejaribu kutumia PayPal lakni imegoma, yenyewe inaruhusu kutuma pesa lakni kupokea haiwezekani.
Asante.
Maana nimejaribu kutumia PayPal lakni imegoma, yenyewe inaruhusu kutuma pesa lakni kupokea haiwezekani.
Asante.