Acha umbea 😀Una shingapi kwani huko tikitoko
Itakuwa gift hizo, hao ndo wazee wa tap tap!nashinda tiktok sijawah pata at mia ebu tueeleze izo ela unazotaka kuzitoa umezipataje tujue tunakusaidiaje[emoji41]🤏
anh wale wanakuwaga live sioItakuwa gift hizo, hao ndo wazee wa tap tap!
Yah hao hao, night kali unawakuta na maujinga yao 😀anh wale wanakuwaga live sio
Inatoa tu kama hivi.Kwa wale watumiaji wa tiktok nilikuwa naomba kuuuliza swali, upande wa kutoa mafaranga yako kwa upande wa Tanzania [emoji1241] unatumia account ipi?
Maana nimejaribu kutumia PayPal lakni imegoma, yenyewe inaruhusu kutuma pesa lakni kupokea haiwezekani.
Asante.