Ni 11 plain
Blackberry curveKama hiyo mkuu.
View attachment 3033653
Nitakaribia kundini soon😌😌🤘Ni 11 plain
Warmly welcome,. Karibu uenjoyNitakaribia kundini soon😌😌🤘
Natumia iPhone 16 used from dubaiUnatumia simu gani, na umenunua Shilingi ngapi?
Fanya ku-screenshot picha ili uzi unoge zaidi.
Mimi Mjanja M1 natumia iPhone 15 Pro nimenunua 4 Million.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilijuaga halotel haisomi kwenye iPhoneUnyama umejaa space inanilazimu kununua storage icloud nalipia per month. This time nataka nisogee sogee kidogo hata x au 11
Mkuu ni kweli features zake ni kama za iphone 11 na 12?Natumia iPhone 16 used from dubai
Naiuza inaniletea shida 😹🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hatakama ndio umwandikie mzee wako **** kweli😂😂Naiuza inaniletea shida 😹
Infinix inaniletea shida naandika kingine na yenyewe inaandika mambo inayojisikia....Hatakama ndio umwandikie mzee wako **** kweli😂😂
Toa autocorrection buana😂😂,. Usije ukajichanganya kwa boss siku moja uone kazi😃Infinix inaniletea shida naandika kingine na yenyewe inaandika mambo inayojisikia....
Naiuza 😹