Unauelewaje usemi huu?

nkyandwale

Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
64
Reaction score
15
Nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wasemavyo, muda huu ni wa kuuaga mwili wa marehemu.
Hebu tuwekane sawa! Je, inawapasa wasemeje ili kuuondoa utata wa lugha! Tafadhali dadafueni kauli hiyo.
 
Nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wasemavyo, muda huu ni wa kuuaga mwili wa marehemu.
Hebu tuwekane sawa! Je, inawapasa wasemeje ili kuuondoa utata wa lugha! Tafadhali dadafueni kauli hiyo.

Basi sema 'to pay last respect'. Maana kiswahili kimukushinda na sijui wasiwasi wako unatokana na nini hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…