Nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wasemavyo, muda huu ni wa kuuagamwili wa marehemu.
Hebu tuwekane sawa! Je, inawapasa wasemeje ili kuuondoa utata wa lugha! Tafadhali dadafueni kauli hiyo.
Nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wasemavyo, muda huu ni wa kuuagamwili wa marehemu.
Hebu tuwekane sawa! Je, inawapasa wasemeje ili kuuondoa utata wa lugha! Tafadhali dadafueni kauli hiyo.