Unaujua ushangiliaji wa Jean Charles Ahoua?

Unaujua ushangiliaji wa Jean Charles Ahoua?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kwa kuwa watanzania wengi siyo watazamaji wa michezo ya basketball na football (american football siyo soccer), style ya ushangiliaji ya Janshalewa ni kama imekuwa ngeni kwa watazamaji wengi na hata wachezaji wenzake.

Dance hiyo inaitwa "The Griddy" na asili yake ni katika mchezo wa "American Football" hadi baadae imekuwa inatumika sana na wachezaji wa michezo mbalimbali ikiwemo NBA. Ina miaka kama 5 hivi toka imeanza kuwa maarufu.

Hiyo ndiyo The Griddy ya Janshalewa.
 
Kwa kuwa watanzania wengi siyo watazamaji wa michezo ya basketball na football (american football siyo soccer), style ya ushangiliaji ya Janshalewa ni kama imekuwa ngeni kwa watazamaji wengi na hata wachezaji wenzake.

Dance hiyo inaitwa "The Griddy" na asili yake ni katika mchezo wa "American Football" hadi baadae imekuwa inatumika sana na wachezaji wa michezo mbalimbali ikiwemo NBA. Ina miaka kama 5 hivi toka imeanza kuwa maarufu.

Hiyo ndiyo The Griddy ya Janshalewa.
Weka video.
 
Wamelewaaa utopolooo...
Ila mechi za Simba na timu zenye nembo ya gsm ni tafu gemu...lazima ukifunga ushangilie buanaaaaa....
Wamechanganyikiwa wote kwa pamoja wakati inatakiwa kila mtu achanganyikiwe kwa wakati wake
 
Naona mechi bado inaendelea hapa mchezaji nwingine wa Namungo anatolewa kwa kadi nyekundu kisa kumuangalia refa na dk tatu baadae Simba walipata penati ya Tano katika mchezo huu..
 
Mechi 18
Penalty goals 7 😂😂
Total goals 10... M.fuvck
 
Kwa kuwa watanzania wengi siyo watazamaji wa michezo ya basketball na football (american football siyo soccer), style ya ushangiliaji ya Janshalewa ni kama imekuwa ngeni kwa watazamaji wengi na hata wachezaji wenzake.

Dance hiyo inaitwa "The Griddy" na asili yake ni katika mchezo wa "American Football" hadi baadae imekuwa inatumika sana na wachezaji wa michezo mbalimbali ikiwemo NBA. Ina miaka kama 5 hivi toka imeanza kuwa maarufu.

Hiyo ndiyo The Griddy ya Janshalewa.
Goli la KIJANA alilotuliza kifuani kabla ya kuachia bunduki ninatamba huko kwenye screen za CAF. 😁😁
 
Back
Top Bottom