chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Mbona wanaulizwa wanamtaka nani wanajibu Lowassa humo ndani ya mikutano yenu mbele ya Magufuli na kikwete au hauoni hizo video?ccm pamoja na kubeba watu sijui,kutumia wasanii,ndio mbinu yao na miaka yote inawatoa.
hakuna mtu analazimishwa kwenda,,,ukiona nyomi ya magufuli mara nyingi ni wapiga kura serious,
nyomi ya lowasa ina mchanganyiko na wengine hawatampigia kura
Huo sio msimamo wa watu wengi, ni msimamo wako na wachache mnaoshare hiyo feeling
Dr. Slaa yupi unayemuongelea, Hakuna mtu anayeitwa Dr. Slaa ndani ya Ukawa. Au ulimaanisha angempisha CCM? Sijakusoma mkuu.
CC. stroke kichakaa man anatory antony Janjaweed Prisoner 46664 Ngongo tindo daud mchambuzi Idimulwa aiai654 shost
je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya chadema/ukawa endapo uamuzi huo utafikiwa?
Jibu ndio/hapana/sijui
kura hii inawahusu pro-ukawa wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.
mtazamo unaoonekana na wengi wa wananchi ni kwamba haikuwa sahihi kwa lowasa kutoka kutaka kugombea kupitia ccm na ghafla kuangukia chadema na kuiwakilisha ukawa.
Wengi wamepata picha ya uchu wa madaraka badala ya nia ya dhati ya ukombozi.
Mtazamo wa wengi ni kua, kama lowasa angetaka kulinda heshima yake na kupeleka ushindi upinzani, nafasi hiyo ingebaki kwa dr. Slaa na yeye kuwa mhamasishaji mkuu.
Lakini kwa hali jinsi ilivyo sasa, kila mtu anapata wasi wasi wa lengo halisi la lowasa kuitaka ikulu na kupata woga. Ikulu kuna nini kupahangaikia hivyo, kila mtu anajiuliza.
Sio peke yangu lakini wengi wanaona hivyo, na hilo linaipa ushindi ccm.
Bila shaka, ccm wanapata tena nafasi ya kuongoza taifa.
Umeandika kishabiki sana, hakuna asiyemfahamu dr.slaa wa Ukawa.
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?
Jibu Ndio/Hapana/Sijui
Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.
Hakuna ushabiki mkuu, hakuna mtu anaitwa Dr Slaa ndani ya Ukawa. Labda zamani
Bado umetumia hisia kunijibu
Dr. Slaa yupi unayemuongelea, Hakuna mtu anayeitwa Dr. Slaa ndani ya Ukawa. Au ulimaanisha angempisha CCM? Sijakusoma mkuu.
CC. stroke kichakaa man anatory antony Janjaweed Prisoner 46664 Ngongo tindo daud mchambuzi Idimulwa aiai654 shost