GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Anasema:
1. Vyoo vya mwendokasi vimejengwa mbali sana kutoka kituo kimoja hadi kingine
2. Uwanja wa ndege wa Dar Es Salaam usitegemee maji ya Dawasa pekee
Unauonaje ushauri wake?
1. Vyoo vya mwendokasi vimejengwa mbali sana kutoka kituo kimoja hadi kingine
2. Uwanja wa ndege wa Dar Es Salaam usitegemee maji ya Dawasa pekee
Unauonaje ushauri wake?