Kwa wale tu waliokua na mda wa kumsikiliza mkuu wa nchi anaemaliza mda wake, yaani ex-president. Je umeguswa vipi na unampa maksi ngapi?
Hivi wewe kaka ni mzima?
:tape:
0/100: kajitungia maswali na kuandaa marking scheme, then kaalika invigilators from his party.. sort of like a self assessment survey!!:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:Kwa wale tu waliokua na mda wa kumsikiliza mkuu wa nchi anaemaliza mda wake, yaani ex-president. Je umeguswa vipi na unampa maksi ngapi?
Hana Mtazamo mpya, kila kitu serikali ya marekani, korea, ujerumani na wahisani watafanya serikali yetu itafanyanini?, nampa 12% tu kwa upungufu wake wa kutofikilia ila bado huenda nimempendelea sana.:nono:
Pamoja na hayo lakini bado mimi nampa 20%...kwasababu hajaanguka kama kawaida yake0/100: kajitungia maswali na kuandaa marking scheme, then kaalika invigilators from his party.. sort of like a self assessment survey!!:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee: