Lile lilikuwa igizo, maswali yaliandaliwa na Kinana na Kingunge, wakaandaliwa waulizaji, JK akafundishwa namna ya kujibu akafanya mazoezi kwa zaidi ya siku 5, lakini ameshindwa badala yake kikazuka kigugumizi, nampa alama 5 kwa 100. BURE KABISA, NI MAAFA KWA TAIFA KWA HUYU KIUMBE KURUDI IKULU