Kumbe,najua hawezi kuwa Hayati Magufuli ni role model wako maana yeye alikuwa anavaa mkono wa kushoto na mkewe Janeth Magufuli, labda na wao walikuwa wanavaa mkono wa 1 kwa mapenzi.Mtazamo tu mimi huvaa kulia kwa sababu kuna viongozi ambao ni role model wangu huvaa kulia β¦.
Nilikuwa navaa saa mkono wa kushoto nilibadilisha baada ya kuona wanawake wengi wanavaa mkono huo niliamua kuvaa mkono wa kulia mpaka sasa.
Sababu kubwa iliyonifanya nibadilike ni mpenzi wangu pia anavaa mkono wa kushoto na anaigeuza sehemu ya kuangalia mda inakuwa kiganjani, huangalia muda kila baada ya masaa kadhaa ya kazi kupita sasa jinsi anavyoangalia anavutia sana, niliona huu kumbe ni mkono wa kike nilivua saa yangu na kuivaa mkono wa kulia.
Ni mtazamo wangu tu, wenzangu sijui kwanini wanavaa mkono wa kulia au kushoto!
Kumbuka saa ni urembo pia unaposema mwanaume hatakiwi avutie unamaanisha nini...You miss read mens.Sa sijui mwanaume unataka uvutie nini.
Mwanaume anavutia pesa sio saaKumbuka saa ni urembo pia unaposema mwanaume hatakiwi avutie unamaanisha nini...You miss read mens.
Navaa kushoto
Biologically, mkono wa kulia una activities nyingi hautaki uzito kitu kinachomzongazonga...pia kuna ukushoto fulani hivi kuvaa kulia.
Fashionable, mkono wa kushoto hana shunguli nyingi basi abaki na urembe wa saa na brasalet...hata movement yake si strong.
Safety, saa ikikaa mkono wa kulia una % kubwa ya kuharibika haraka activities za mkono na quickly movement.
Mwanaume inamuhusu Fashion na Stylish.Mwanaume anavutia pesa sio saa
Saa uvae kulia tena ya gharama tujue kiwango cha pesa huwezi tumia simu
Sio kuwaaibisha wanaume wenzio.
Tafuta pesa mkuu siku na wewe utembee kushoto π π π,nikitembea barabarani pia natembea upande wa kulia.
[emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta pesa mkuu siku na wewe utembee kushoto [emoji23] [emoji23] [emoji23]