Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 207
- 354
Wakuu kwema?
Hivi vibanda vinasaidia sana wafanyabiashara wadogo kuanza kujitafuta.
Naomba kujua yafuatayo:
1- kwa anayetaka kununua, vinauzwa bei gani?
2- kwa anayetaka kukodi, kinakodishwa bei gani?
3- kama nikinunua nikawa nacho nataka kukiweka barabarani, process yake ipoje??
Hivi vibanda vinasaidia sana wafanyabiashara wadogo kuanza kujitafuta.
Naomba kujua yafuatayo:
1- kwa anayetaka kununua, vinauzwa bei gani?
2- kwa anayetaka kukodi, kinakodishwa bei gani?
3- kama nikinunua nikawa nacho nataka kukiweka barabarani, process yake ipoje??