Unavutiwa na video za directors gani wa muziki hapa Afrika?

Director X natarajia nimpe kazi ya ku shoot siku ya harusi yangu na walimbwende wangu hawa Sakayo Mzigua90 na Karma
 
Ila mejja kiboko jamani..Kuna ile landlord ukiiangalia ni kucheka mwanzo mwisho..
Hahahaha nakubali sna mkuu yaaani nimejua tz mi ndo najua io ngoma pekeangu. Yaaani video NI Moto alaf inaendana na audio vilevile.
Yaaani Kila siku lazima niimbe" Usiniaribie siku bhana landlord.. umenishika kwenye Koo eeh eeh eeh we ni Tafrash tuu[emoji23][emoji23]
 
Legendary[emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…