Unawaibia na kuwadhulumu watu korosho zao unaenda kujenga kwenu

Unawaibia na kuwadhulumu watu korosho zao unaenda kujenga kwenu

Fao La Kujitoa

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
396
Reaction score
966
Naandika huu uzi kwa hasira na ghazab ya aina yake.

Unawaibia na kuwadhulumu watu korosho zao tena kwa MAKSUDI na KIBURI na NYODO unaenda kujenga kwenu. Na kusema kwani kwetu siyo Tanzania?

Je na hao uliowaibia na kuwadhulumu korosho kwao ni wapi?

Kilimo na Biashara ya korosho kilikuwa inashamiri kwa maksudi umeivuruga.
 
Pole sana mkuu. Tafuta pepsi baridi unywe bila glasi ufanye kama unapiga tarumbeta hivi ili kutoa sumu na hasira mwilini.

Pole sana aisee, inaonekana moyo wako ukikatwa hapo ukatolewa nje utakuwa na hasira sana
 
Pole sana mkuu. Tafuta pepsi baridi unywe bila glasi ufanye kama unapiga tarumbeta hivi ili kutoa sumu na hasira mwilini.

Pole sana aisee, inaonekana moyo wako ukikatwa hapo ukatolewa nje utakuwa na hasira sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chz wewe dah ila umenifanya nmecheka sana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Naandika huu uzi kwa hasira na ghazab ya aina yake.

Unawaibia na kuwadhulumu watu korosho zao tena kwa MAKSUDI na KIBURI na NYODO unaenda kujenga kwenu. Na kusema kwani kwetu siyo Tanzania?

Je na hao uliowaibia na kuwadhulumu korosho kwao ni wapi?

Kilimo na Biashara ya korosho kilikuwa inashamiri kwa maksudi umeivuruga.
Ulitaka aibe akajenge kwenu?
 
Naandika huu uzi kwa hasira na ghazab ya aina yake.

Unawaibia na kuwadhulumu watu korosho zao tena kwa MAKSUDI na KIBURI na NYODO unaenda kujenga kwenu. Na kusema kwani kwetu siyo Tanzania?

Je na hao uliowaibia na kuwadhulumu korosho kwao ni wapi?

Kilimo na Biashara ya korosho kilikuwa inashamiri kwa maksudi umeivuruga.
so kuwa-nyonya wakulima ndo kushamiri kwa soko?!!
kweli ubeberu ni ugonjwa wa akili, dah
 
Naandika huu uzi kwa hasira na ghazab ya aina yake.

Unawaibia na kuwadhulumu watu korosho zao tena kwa MAKSUDI na KIBURI na NYODO unaenda kujenga kwenu. Na kusema kwani kwetu siyo Tanzania?

Je na hao uliowaibia na kuwadhulumu korosho kwao ni wapi?

Kilimo na Biashara ya korosho kilikuwa inashamiri kwa maksudi umeivuruga.
Mmeishiwa sera... Jikazeni!
 
Back
Top Bottom