Musimsahau Hussein Tindwa, aliekufa kiwanjani siku simba ilipocheza na Raccah Rovers ya Nigeria, hapo ilikuwa baada ya Simba kuipiga Mufulira Wandereres goli tano bila, kumbuka mechi ya mwanza iliochezwa uwanja wa taifa simba ilipigwa nne bila, huo ulikuwa ni mwaka 1978 sijui wangapi wanakumbuka hii
Watu wanaweza wasimalize hapa Listi. Pan African
<br />@ Tongoni umenikumbusha Marehemu (R.I.P) Gibson Sembuli, maana kuna wimbo walimwimbia sina uhakika sn kama ni Marijani au Mbaraka mwinshehe