Tatunane: wengine marahemu wengine wametawanyika.
Naliene marehemu,alikuwa anapiga ngoma na filimbi hadi puani.
Mahdi (Tumbo,nadhani) marehemu alikuwa anapiga gitaa rythm,
Charle Mhuto yuko Ohio,USA, Ted Mbaraka uncle wake ana bedi yake hapo Bongo,
Dulla yuko Denmark, alikuwa anapiga gitaa bass, anaishi pale, wengine sijui.
Hakuna bendi itakayotuweka kwenye ramani ya dunia kimziki kama hawa wanaume, bila kumuacha mzee Marehemu Hukwe Zawose.
Nina album za Tatunane mbili kwenye cd, zile zilidhinda award kule France (walishinda namba moja mbele ya magiwji kama Manu Dibango,m Angela kidjo na Yousson N'dou ) nikipata muda nitaziweka humu, wka wapendi wa African music,
pamoja