Unawakutaga na mabango ya "DEATH TO AMERICA", alafu tabu inapowafikia nchi ya kwanza kuanza asylum ni America. Unafiki mkubwa

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mara ooh "mashoga", mara mashetani, mara illuminati ila wanapoeletewa shari na watu wa itikadi yao wenyewe tena wanakimbilia kule kwa mashoga kupata hifadhi zidi ya majanga na vifo wanavyoletewa na watu wao wa itikadi sawa wanaoikubali.
.

Mna vituko sanaa🚮🚮
 
Yale maayatollah ndiyo yalikuwa yanawa brainwash raia wao japo sasa hivi wanapuuzwa.
 
Waarabu ngumu sana kuwaelewa
 
Mjadala mwingine wa dini za kitapeli. Hizi dini zimekuja kuwa-brainwash watu na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…