Nyendo JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 1,336 Reaction score 4,731 Apr 30, 2021 #1 Napenda samaki wabichi ila changamoto ni kuwakaanga jamani. Mimi huwa naweka ngano, nachanganya ngano na maji nachovya samaki wabichi kisha nakaanga. Wanatoka vizuri sana na wanakuwa watamu mno. Tupe mbinu yako na wewe.
Napenda samaki wabichi ila changamoto ni kuwakaanga jamani. Mimi huwa naweka ngano, nachanganya ngano na maji nachovya samaki wabichi kisha nakaanga. Wanatoka vizuri sana na wanakuwa watamu mno. Tupe mbinu yako na wewe.
EINSTEIN112 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 21,711 Reaction score 35,644 Apr 30, 2021 #2 Kumbe solution unayo mkuu?
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,094 Reaction score 37,314 Apr 30, 2021 #3 Ngano ya nini best mafuta yatakapo pata moto vizuri samaki hawezi kung'anga'nia kwenye kingaango.
Nyendo JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 1,336 Reaction score 4,731 Apr 30, 2021 Thread starter #4 Nuzulati said: Ngano ya nini best mafuta yatakapo pata moto vizuri samaki hawezi kung'anga'nia kwenye kingaango. Click to expand... Oo asante nitajaribu huenda naweka mafuta yakiwa hayajachemka vizuri.
Nuzulati said: Ngano ya nini best mafuta yatakapo pata moto vizuri samaki hawezi kung'anga'nia kwenye kingaango. Click to expand... Oo asante nitajaribu huenda naweka mafuta yakiwa hayajachemka vizuri.
M mama kubwa JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 6,230 Reaction score 9,889 May 3, 2021 #5 Unasubiri mafuta yapate moto sana unawaweka usigeuze mpaka usikie mafuta yanatoa mlio kama Pu Pu kuna mlio fulani kama mafuta yanataka kulipuka unageuza bila shida.
Unasubiri mafuta yapate moto sana unawaweka usigeuze mpaka usikie mafuta yanatoa mlio kama Pu Pu kuna mlio fulani kama mafuta yanataka kulipuka unageuza bila shida.
3ZOV JF-Expert Member Joined Dec 28, 2020 Posts 6,259 Reaction score 7,015 May 3, 2021 #6 Vipi ulisagia na tangawizi humo?
C cool d JF-Expert Member Joined Jan 20, 2015 Posts 1,743 Reaction score 1,751 Sep 18, 2021 #7 Nyendo said: Napenda samaki wabichi ila changamoto ni kuwakaanga jamani. Click to expand... Nununua nonstick pan, zipo kubwa hivi mfano Design nonstick double pan.
Nyendo said: Napenda samaki wabichi ila changamoto ni kuwakaanga jamani. Click to expand... Nununua nonstick pan, zipo kubwa hivi mfano Design nonstick double pan.
Nyendo JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 1,336 Reaction score 4,731 Dec 19, 2022 Thread starter #8 cool d said: Nununua nonstick pan, zipo kubwa hivi mfano Design nonstick double pan. Click to expand... Nikipata hela nanunua
cool d said: Nununua nonstick pan, zipo kubwa hivi mfano Design nonstick double pan. Click to expand... Nikipata hela nanunua
mkabasia JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 2,966 Reaction score 2,634 Dec 25, 2022 #9 Wala huna haja ya kuweka ngano. Mafuta yachemke vya kutosha halafu usiwai kiwageuza watameguka. Kaanga mpaka upande uive ndo ugeuze.
Wala huna haja ya kuweka ngano. Mafuta yachemke vya kutosha halafu usiwai kiwageuza watameguka. Kaanga mpaka upande uive ndo ugeuze.
Teknocrat JF-Expert Member Joined Oct 20, 2018 Posts 4,967 Reaction score 11,056 Dec 25, 2022 #10 Wapakae samaki chumvi ya unga, kwisha mchezo.....
Z zwenge ndaba JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 2,037 Reaction score 3,598 Dec 25, 2022 #11 Pia ukiwaparua hakikisha umewaanika kidogo, maji yakauke kauke