Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,252
Wasalimu sumbawanga ,mjini lini mkuuWenye ma bar huku wao sio wanywaji ni sababu ya masharti ya waganga/uchawi,kwa bar ninazojua lkn.
Ni sawa na kuuza chakula halafu usiwe mlajiHii biashara inalipa sana, sema wamiliki walio wengi nao lazima wanaoja.
Je kwa mtu asiyetumia pombe hii biashara ni rafiki kweli? Kozi nimeona wengi sana ambao hawakuwa walevi ila wakianza hii business wanakuwa wanywaji pia.
Hahahah namalizia kuchunga ng'ombe afu nije mjini.Wasalimu sumbawanga ,mjini lini mkuu
Na usipokunywa Wateja wanahama.Ni sawa na kuuza chakula halafu usiwe mlaji
Jr[emoji769]