Hahaha hakuna matatizo ktk hilo,basi hao wanaojifanya wanamjua sana Mungu kwa kuzuga wanakwenda misikiti/makanisani ndio wana siri za ajabu ajabu ndio maana wanakimbilia ktk nyumba za ibada.
TAFADHALINI SOMENI KWA MAKINI.
Ninafanya kazi na binti wa miaka ishirini na nane na mimi nina miaka hamsini.
Pamoja na kuwa yeye ni secretary lakini mimi nina uzoefu mkubwa zaidi katika computer na mtandao na nilimsaidia kufungua account ya facebook.
Ameweza kupata marafiki wengi na mpaka ku create group la kabila lake na schoolmates.
Nilimuonya sana kuhusu hatari za mtandao lakini siku zilivokwenda nahisi amekuwa addict.Yuko radhi kufungua desktop na laptop ili awe anafanza kazi hapohapo ana chat.
Anapenda sana kuweka picha zake kila mara.
Dalili mbaya nimeanza kuziona hasa baada za kuwa na skype kwani anapigiwa simu na hata watu walio nje za nchi na nahisi ameshiangia hata katika phone sex.Anahamisha laptop kwenda chumba kingine na ukitikea anakata simu.
Juzi nilimuuliza kuwa ikiwa mtu anayecaht nae akija atafanya nini?Jibu lake ni kuwa atampokea na atamtafutia chumba hotelini.
Swali la pili lilikuwa ikiwa bwana huyu atakuja na bag lenye zawadi atazipokea?Jibu lillikuwa ni "ndiyo nitazipokea ila hatalala kwangu:
Nikamuuliza tena "mtu ambaye mmeongea mpaka ngono kwenye simu na leo kaja na zawadi toka ulaya,utamkwepa kweli?"hapo alikaa kimya.
Ninachotaka kueleza ni kuwa hatari za mitandao za kijamii katika mapenzi zimeelezwa sana ila kwa ulimbukeni wetu tunashindwa kuelewa kuwa wakati mwingine unahatarisha maisha yako kwa kiwango kikubwa.
CHUKUENI tahadhari wanangu.
mhhhh kazi wanayo...mie nshawahiwa uzuri wenyewe
TAFADHALINI SOMENI KWA MAKINI.
Ninafanya kazi na binti wa miaka ishirini na nane na mimi nina miaka hamsini.
[/QUOTE]
From now on; sita-post thread za kipuuzi, sitatumia lugha chafu, sitajibu kwa jazba, nitakuwa mwadilifu daima, maneno ya kipumbavu kwangu mwiko! am afraid, huenda ikawa tunatukana wazazi wetu humu! na kuanzia sasa; nitaanza kumwaga shikamoo hivi sasa humu ndani! Mkuu MIGNON, shikamoo! Kama una kids, wape ID yako bana, c unajua hii mitoto ya cku hzi isivyokuwa na adabu mitandaoni!
Wana JF. Uhusiano wa kimapenzi ndio ambao huzaa ndoa baadae. Lakini vijana wengi sana wamekuwa hawajui ni sehemu gani sahihi ya kumpata mweza wa kweli. Hili limekuwa ni swali gumu ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza pasipo kupata majibu. Kutokana na utandawazi uliyopo hivi sasa, pamoja na matumizi yasio sahihi ya utandawazi yanafanywa hivi sasa. Wengi wamejikuta wakipata wenza wasio sahihi na wapo waliopata wenza sahihi kupitia mitandao ya kijamii, hivi ni sahihi kuanzisha uhusiano na mtu uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii? Wadau tujadili hii[/QUKwann umtongoze m2 mtandaoni?mface huoneshe ushababi wako