Baba Nia
Member
- Sep 26, 2021
- 78
- 73
Habari zenu wakuu,
Nina malengo ya kutembelea nchi za Uganda na Rwanda nikijaaliwa na Kenya na Burundi. Nilipata kuona mahala kwamba kama Mwananchi wa Jumuiya ya EAC naweza ingia bila passport ila kuna kibali napewa hivyo nilikua nauliza hapa kama kweli yawezekana kwa utaratibu huu na je napata wapi hiki kibali na kama kuna taratibu za ziada.
Pia uzoefu wa waliosafiri nchi hizi kwenda kurudi. Natanguliza shukrani katika kunielimisha na kunisaidia.
Asante
Nina malengo ya kutembelea nchi za Uganda na Rwanda nikijaaliwa na Kenya na Burundi. Nilipata kuona mahala kwamba kama Mwananchi wa Jumuiya ya EAC naweza ingia bila passport ila kuna kibali napewa hivyo nilikua nauliza hapa kama kweli yawezekana kwa utaratibu huu na je napata wapi hiki kibali na kama kuna taratibu za ziada.
Pia uzoefu wa waliosafiri nchi hizi kwenda kurudi. Natanguliza shukrani katika kunielimisha na kunisaidia.
Asante