Unaweza kuishi bila ngono au tendo la ndoa

Unaweza kuishi bila ngono au tendo la ndoa

DJ SEPETU

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
8,413
Reaction score
12,336
Hivi kweli kuna binadamu anaweza ishi bila hili tendo!

Maana kama haina madhara heri ili kuepuka mizinga na wanawake kujitunza zaidi
 
Kutofanya ina madhara mkuu,unawehuka,unakua mwehu,
Labda uwe unapiga puli
 
Mm naweza kuishi km masaa 23 tyu ... zaidi ya hapo siwez kuhusu vizinga tuwaache maana wa kike ndio furaha yao katika mapenzi siku hz anaomba hadi pesa ya kupanda boti dodoma.
 
Huu ni mwezi wa 4 mie sijagegeda na sitaki kabisa kusikia haya Mambo.
Ingawa 2years nimekuwa Na mtu any time nikitaka napata.Sijui kwa nini?
 
65ae3ca30189ec00d2cd586da618d3e0.jpg
 
ce7b4e915624a4c691f860d988a608d9.jpg
Ngono noma, hata marehemu anajua[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
ce7b4e915624a4c691f860d988a608d9.jpg
Ngono noma, hata marehemu anajua[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hahahahaha umetisha mkuu wanasema marehemu akifa imesimama kama ana mke anatakiwa ampe marehemu cha mwisho na mimba ikitunga Mtoto anakuwa genius balaaa
 
Hahahahaha umetisha mkuu wanasema marehemu akifa imesimama kama ana mke anatakiwa ampe marehemu cha mwisho na mimba ikitunga Mtoto anakuwa genius balaaa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Havina mahusiano kati ngono na maisha tunaanza ngono tukiwa na 19 maisha tunaanza tukiwa na miaka 00 00 0000 kwa hiyo unaishi tu bila ngono uhai wako wote kana utapenda
 
ce7b4e915624a4c691f860d988a608d9.jpg
Ngono noma, hata marehemu anajua[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ile bangi ulimaliza boss
 
Back
Top Bottom