Kuna mambo yanafurahisha na kusikitisha kwa pamoja Kuna vitu havikwepeki hasa suala mbususu Yani utajizuia lakini kwa mwanaume ngumu pamoja na ugumu huo na tunaweza kumudu kufanya starehe ya namna hiyo kwenye mazingira magumu watoto wa mjini wanasema poa tu hiki ndicho kilichomkuta kijana huyu je Kama ingelikuwa ni wewe unaweza kusikilizia milio mkiwa ghetto moja MSHIKAJI wako na demu wake
Watoto wa mama ambao hawajawahi kuishi beach na kwenye magheto ndio wanashangaa hili,tulioishi beach hiki ni kitu cha kawaida kabisa,baharia kuja na demu ghetto na wote tunazimika humo humo ,wale wa Langa nyosheni mikono juu mhesabiwe
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu umenikumbusha mbali aisee pale hall 5 tulikuwa tumetoka kufungua chuo sasa jamaa akaja na kidem chake sijui kakitoa wapi huko na alifika usiku sisi tumelala. Yule mwamba alipiga show huku sisi tumekausha kama hatujui kinachoendelea na kulipokucha jamaa akaamsha nacho dah! We jamaa popote ulipo nakupa salute mkuu ulitunyoosha