Nakumbuka tulipokuwa shule walimu wa kike waliwafundisha mikao ya kukaa wakati sie tunacheza sodo uwanjani.Khaaa we mwanaume nakugawa bureee
[emoji23]uongo kwani[emoji23][emoji23] daah eti mitongozo
Uongo[emoji23]uongo kwani
Kwa hiyo na wewe umekuwa mwalimu?Nakumbuka tulipokuwa shule walimu wa kike waliwafundisha mikao ya kukaa wakati sie tunacheza sodo uwanjani.
Ila mbona unachepusha mada? Unataka mwenzio anichukieKwa hiyo na wewe umekuwa mwalimu?
NdioIla mbona unachepusha mada? Unataka mwenzio anichukie
Shindwa na ulegee.Ndio
HayaShindwa na ulegee.
naomba niwe rafk.ako nianze.kuishika na kukupostia JfBahati mbaya sana sina rafiki ambaye tumezoeana mpaka kushikiana simu
Rafiki yanguuu[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]ni mimi hapa rafiki.... huku JF ndio ninajiita hivi umeskia eeeeh
niko hivyo, ni kitu cha watu akinipa niangalie ntaangalie kile nilichopewa sio kuanza kuswipe left and rightAcha bwana....kwanini?
naomba niwe rafk.ako nianze.kuishika na kukupostia Jf
Me sijawahi mwamini rafiki hata awe rafiki wa karibu kiasi gani simu yangu hagusiHabari za jioni wapendwa!?
Leo kuna kijana mmoja kaniambia kuwa ako na rafiki yake wa kike ambaye amezoea na yuko huru sana kushika simu yake (simu ya huyo kijana) na kijana yupo huru pia kufanya hivyo kwa simu ya hiyo dada.
Swali kwenu wananzengo unaweza kumruhusu rafiki yako awe huru na simu yako?
Mashushu ruksa nimemiss kucheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni kinyume changu hahahahahahahahahah... Mm rafiki simu yangu hagusi kabisa ila mume anaweza akashinda nayo kutwa nzima na mm naweza shinda na ya kwake the whole dayrafiki yangu sawa atashika though kuna sehemu hawezi kuingia sababu ya security.. ila simu anashika fresh...na zao pia nashika kiroho safi
lakini mpenzi wangu simu yangu haimuhusu kabisaaaaa na mimi ya kwake pia naiogopa kama ukoma
aaaaah kwa mapenzi ya siku hizi unaweza kujikuta unaharibu amani yote mliyonayo kisa simu... sasa suluhisho ni kila mtu akae na simu yakeWewe ni kinyume changu hahahahahahahahahah... Mm rafiki simu yangu hagusi kabisa ila mume anaweza akashinda nayo kutwa nzima na mm naweza shinda na ya kwake the whole day