Unaweza kumuacha mtu unayependa kwa dhati kisa umeshauriwa na watu?

Unaweza kumuacha mtu unayependa kwa dhati kisa umeshauriwa na watu?

Biisa

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2019
Posts
513
Reaction score
544
Habari waungwana. Kwanza kabisa tuvumiliane. Leo nina swali, hivi unaweza kumuacha mtu unaye mpenda kwa dhati kwa kushauriwa na mtu au watu ? Hii hasa nauliza jinsia ya kike.

Karibuni aisee, tupeane muongozo.

1644384850729.png

 
Kuna mambo mengi ya kufanya mapenzi waachie wenyewe we focus kwenye mambo yako ,piga kazi ,kula vizuri, sali,tii sheria za nchi yako na la mwisho muombe Mungu baba akuepushe na mabalaa na mikosi na pia muombe akupe mwisho mwema hapa duniani ova.

Ukiona hiyo mambo ya mapenzi yanakupelekesha basi umevamia fani za watu
 
Dunia ya leo hakuna kitu kinachoitwa Mapenzi ya Dhati.. Ndio kama aliyenitangulia alivyosema.. Acha kupoteza muda kwa mambo ya mapenzi. Ww unampenda kwa Dhati.. Lakini yeye hakupendi kihivyo. Yani mapenzi leo.. utaumia moyo tu. Kuna mfanyakazi wangu mmoja anaenda kwa msiba ndugu yake amejinyonga sababu ya mapenzi.

Ni kijana aliachwa na mpenzi wake.. Inasikitisha jinsi watu mnavyoingia deep hivyo na mioyo yenu mnaiwekeza huko. Wengine tumeshajua hilo.. na hatuweki camp kwa mambo ya mapenzi. Tuna-focus kwa maendeleo. Na mambo yanaenda powa sana.
 
Dunia ya leo hakuna kitu kinachoitwa Mapenzi ya Dhati.. Ndio kama aliyenitangulia alivyosema.. Acha kupoteza muda kwa mambo ya mapenzi. Ww unampenda kwa Dhati.. Lakini yeye hakupendi kihivyo. Yani mapenzi leo.. utaumia moyo tu. Kuna mfanyakazi wangu mmoja anaenda kwa msiba ndugu yake amejinyonga sababu ya mapenzi. Ni kijana aliachwa na mpenzi wake.. Inasikitisha jinsi watu mnavyoingia deep hivyo na mioyo yenu mnaiwekeza huko. Wengine tumeshajua hilo.. na hatuweki camp kwa mambo ya mapenzi. Tuna-focus kwa maendeleo. Na mambo yanaenda powa sana.

Mapenzi ya dhati yapo sema wanaobahatika kuyapata ni wachache
 
Anyway kwangu Mimi huwezi kuniambia kitu KWENYE KULA bora nisioe ila kula ndo hua kunanitoa stress zote za shida ya ulimwengu

yaaamiyaamiyaamiiyami
 
Mapenzi ya dhati yapo sema wanaobahatika kuyapata ni wachache
Sawa kabisa. Na ukifikiria kupambania kitu ambacho ni bahati nasibu sio sawa sana kwa sababu siku hizi kupata mtu sahihi imekuwa bahati nasibu.. Na ni kweli kwamba ni wachache sana wanapata hio bahati. Kutumia muda mwingi kwenye mapenzi ni kupoteza muda.. Labda kama malengo mengine ya maisha na ya maendeleo umeshayatimiza. Sasa bora nipambanie kazi zangu sababu binafsi hazijawahi kuniangusha hata mara moja. Ila mapenzi nimejaribu mara nyingi na yamekuwa yananiangusha tu. No need.
 
Sawa kabisa. Na ukifikiria kupambania kitu ambacho ni bahati nasibu sio sawa sana kwa sababu siku hizi kupata mtu sahihi imekuwa bahati nasibu.. Na ni kweli kwamba ni wachache sana wanapata hio bahati. Kutumia muda mwingi kwenye mapenzi ni kupoteza muda.. Labda kama malengo mengine ya maisha na ya maendeleo umeshayatimiza. Sasa bora nipambanie kazi zangu sababu binafsi hazijawahi kuniangusha hata mara moja. Ila mapenzi nimejaribu mara nyingi na yamekuwa yananiangusha tu. No need.

[emoji28][emoji28][emoji28]sawa mkuu one day yes usijali
 
Mapenzi ya dhati yapo sema wanaobahatika kuyapata ni wachache
Hao wachache kina nani, acha kuwasemea watu jiulize je ww unae uyo mpenzi wa dhati au uneshawai kupitia mapenzi ya dhati
Ipo hivi mwanzo wa mapenzi mkikutana wote mnaopendana utafurahia Sana mapenzi sas iyo Hali lazima mmoja wapo awe in deep Zaid ya mwenza wake,
Watu tunatakiwa tufahamu ili swala na kuliweka akilin kweny maisha yetu ya Kila siku hasa sisi wanaume

Watu hubadilika kutokana na mazingira na ndio nature ya maisha yetu Leo mnapendane Sana lkn finally mmoja Kati yenu atakuja kumpata mtu anaemuona ni Bora Zaid yko hapo ndio sekeseke la mapenzi linapoanzia

Hatukatazwi kupenda lkn tuwe na kiasii
 
Mapenzi asilimia kubwa siku hizi ni jambo la kiWhack sana
 
Mkuu kuwaza mapenzi ya dhati kwa karne hii ni kukamua chuma halafu ukatarajia maji.

Hilo unalosema linawezakana vizuri kabisa
 
Back
Top Bottom