Kaize ulikuwa wapi kwani? Jamaa ndo amemwambia mwanamke hamtaki sababu ya kuwa na mwanamke mwingine
Sorry Dena nilikuwa Gest, bahati mbaya nikachelewa....bado hali inabaki ile ile kwamba kumuacha itakuwa vigumu kwa sababu bado anampenda
Ni bahati mbaya kwamba alipenda asipopendwwa na hilo lipo sana katika maisha ya kila siku
Muhimu ni kupiga moyo konde, na kuangalia maisha yajayo
By the way mwambia anione (mpe address yangu) nimsahaulishe machungu au unaonaje
Asipoacha yeye ataachwa...!Jamani mie nauliza nipate kufahamu kuna rafiki yangu anaishi na mwanaume (hawajafunga ndoa) Jana kanipigia simu kuwa huyo jamaa kapata nyumba ndogo na anamwambia kuwa waachane lakini mdada bado anampenda sana jamaa. Swali ni kuwa anashindwa kumuacha sababu anampenda sana jamaa anashindwa afanyeje? Mie nikaona leo niilete hapa. Mbaya zaidi jamaa amebadilika sana. Tumshauri Wakuu
Maty mambo.....Mbona unawapa watu banned? 😛ainkiller:
Nimtumia comments zote za humu amekubali mawazo ya kumsahau sababu ameshaambiwa ukweli kuwa hatakiwi na ameniambia atajitahidi kumsahau. Kwa niaba yake JF Thanks wote mliochangia
Pope Keizer....habari yako banaaa......ntaomba mshindo nyuma wa hii kitu....kumbuka rule number 3..By the way mwambia anione (mpe address yangu) nimsahaulishe machungu au unaonaje
hahaha ivi Maty uliniambia bado nani tena kuchezea ban??hahahaaaaaaa we mi mwenzio ctaki uchokozi lol
hahaha ivi Maty uliniambia bado nani tena kuchezea ban??
hahaha ivi Maty uliniambia bado nani tena kuchezea ban??
hahahaha kule ngoma bado mbichii......ila kitaeleweka tu leo matiti mali ya nani..LOLzHommie, kule kwenye matiti mlikonkludi nini?
Au ndiyo yanachangia kumuacha umpendae?
Halafu we DENA...mh ngoja kwanza...hebu niambie hiyo thanx Moja ulimpa nani?Wewe Kimey ndo zamu yako sasa hivi
hahaha siku babu akila Ban naona wajukuu wataandamana mpaka kwa Invisible......LOLbabu yenu maana naona kakazania matiti ya watu
ukisoma kati ya mistari hilo ndo jibu...Nataka na mie...Umeanza sasa kwani we hukuwepo nikiitoa acha hizo. Unataka na wewe sema tu!!
Umeanza sasa kwani we hukuwepo nikiitoa acha hizo. Unataka na wewe sema tu!!
babu yenu maana naona kakazania matiti ya watu
Babu hupitwi na jambo? LOlzDena, tunasubiri mchango wako kule kwenye matiti tafadhali...