Kamulimuli
Member
- Mar 25, 2023
- 71
- 89
Kwa walioko kwenye ndoa na walio wahi kuwa kwenye Ndoa..Ikitokea Muda ukarudi nyuma..au kukawa na Maisha mengine baada ya haya.Je utakubali kuolewa/kumuoa tena huyo mwenzi wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Napita tu
Kuboresha ndoa kila mtu awe na chumba chake kupeana space
Hizi mambo za kujambiana 24/366 sijui mnaonaje wenzangu
Yaani mtu anakujua anakujua hadi harufu ya kijambo
Tupeane space .tunabanana mno hadi tunachokana
watu wanajuana mpaka kule ndani rangi yake ikoje na ina nyama kiasi gani achana na harufu ya ushuzi tu iliyozoeleka. Ila kuwa na mwenza mpya mpaka mje mzoeane kama wa mwanzo ni shughuli pevuNapita tu
Kuboresha ndoa kila mtu awe na chumba chake kupeana space
Hizi mambo za kujambiana 24/366 sijui mnaonaje wenzangu
Yaani mtu anakujua anakujua hadi harufu ya kijambo
Tupeane space .tunabanana mno hadi tunachokana
Hahah.. Kumbe tatzo na kukaa muda mrefu pamoja mnachokana...kwahyo wale ambao wenzi wao huwa wanasafir kikazi hata miez 4 afya zao za ndoa ziko vizr?Napita tu
Kuboresha ndoa kila mtu awe na chumba chake kupeana space
Hizi mambo za kujambiana 24/366 sijui mnaonaje wenzangu
Yaani mtu anakujua anakujua hadi harufu ya kijambo
Tupeane space .tunabanana mno hadi tunachokana
Hongera sana mkuuYes mimi nitarejea tena kumuowa mama watoto wangu, maana miaka 10 ya ndoa tumepitia mengi lkn bado yeye ni bora kwangu.
Shukrani sana MkuuHongera sana mkuu
Kuna kile kijambo cha bia mixer mishikaki × karanga za bar na K vanga ....haha kikiachiwa kwenye shuka na mwenzako hatumii vitu hvo ni hatariNapita tu
Kuboresha ndoa kila mtu awe na chumba chake kupeana space
Hizi mambo za kujambiana 24/366 sijui mnaonaje wenzangu
Yaani mtu anakujua anakujua hadi harufu ya kijambo
Tupeane space .tunabanana mno hadi tunachokana
Hata kinyesi chake akiingia chooni ni hatareKuna kile kijambo cha bia mixer mishikaki × karanga za bar na K vanga ....haha kikiachiwa kwenye shuka na mwenzako hatumii vitu hvo ni hatari
Sana chunguzaHahah.. Kumbe tatzo na kukaa muda mrefu pamoja mnachokana...kwahyo wale ambao wenzi wao huwa wanasafir kikazi hata miez 4 afya zao za ndoa ziko vizr?
Nakuambia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]