Unaweza kusafiri kwenda mahali usiyoijua lugha yao?

Unaweza kusafiri kwenda mahali usiyoijua lugha yao?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Chukulia kuwa hujui Kingereza, utdhubutu kwenda kwenye nchi wasioongea Kiswahili bali English pekee bila kuwa na mkalimani?

Jipe hiyo changamoto uone matokeo yake. Nenda labda Zambia au Malawi. "Hutakufa", badala yake utajua wewe ni mbunifu zaidi ya ulivyokuwa ulivyojikadiria.

Mwisho wa siku utagundua kuwa:
1. Wewe ni jasiri
2. Watu wengi ni wema zaidi ya ulivyokuwa ukifikiri
3. Umebuni mbinu ya kukusaidia kufikisha ujumbe kwa watu msiongee lugha moja
4. Umefanikiwa kuwasiliana na watu wote uliopaswa kuwasiliana nao japo hujui lugha yao na wao hawaijui lugha yako

Kama Wachina wameweza, na Watanzania nao wanaweza.
 
Chuckles kuwa hujui Kingereza, utdhubutu kwenda kwenye nchi wasioongea Kiswahili bali English pekee bila kuwa na mkalimani?

Jipe hiyo changamoto uone matokeo yake. Naenda labda Zambia au Malawi. "Hutakufa", badala yake utajua wewe ni mbunifu zaidi ya ulivyokuwa ukijikadiria.

Mwisho wa siku utagundua kuwa:
1. Wewe ni jasiri
2. Watu wengi ni wema zaidi ya ulivyokuwa ukifikiri
3. Umebuni mbinu ya kukusaidia kufikisha ujumbe kwa watu msiongee lugha moja
4. Umefanikiwa kuwasiliana na watu wote uliopaswa kuwasiliana nao japo hujui lugha yao na wao hawaijui lugha yako

Kama Wachina wameweza, na Watanzania nao wanaweza.
Wewe jamaa unaonekana mshamba na limbukeni

Sana kwenda hapo Kampala ndio unafungua nyuzi kila wakati.
 
Chuckles kuwa hujui Kingereza, utdhubutu kwenda kwenye nchi wasioongea Kiswahili bali English pekee bila kuwa na mkalimani?

Jipe hiyo changamoto uone matokeo yake. Naenda labda Zambia au Malawi. "Hutakufa", badala yake utajua wewe ni mbunifu zaidi ya ulivyokuwa ukijikadiria.

Mwisho wa siku utagundua kuwa:
1. Wewe ni jasiri
2. Watu wengi ni wema zaidi ya ulivyokuwa ukifikiri
3. Umebuni mbinu ya kukusaidia kufikisha ujumbe kwa watu msiongee lugha moja
4. Umefanikiwa kuwasiliana na watu wote uliopaswa kuwasiliana nao japo hujui lugha yao na wao hawaijui lugha yako

Kama Wachina wameweza, na Watanzania nao wanaweza.
Kwani wazungu waliijua lugha yetu?
 
Wewe jamaa unaonekana mshamba na limbukeni

Sana kwenda hapo Kampala ndio unafungua nyuzi kila wakati.
Ni kweli, umepatia kwa asilimia themanini. Mimi ni mashamba kwa sababu mpaka sasa nina ekari zaidi ya ishirini za shamba. Nitakapofikisha ekari mia mbili nafikiri nitapewa cheo cha mshamba square.

Ila cheo cha LIMBUKENI ndiyo bado sijakifahamu. Kinafananaje hicho?
 
Rahisi sana mbona, unaenda Finland hujui Finnish na una-adapt mazingira, unajifunza na ku-tune akili yako kuendana na mazingira, mwisho wa siku unayafurahia maisha.
Naamini mtu yeyote atakayefanikiwa kufanya hivyo, maisha yake hayatakuwa kama yalivyokuwa. Atafahamu kuwa kilichokuwa kikimkwamisha kufikia malengo yake ni kitu kidogo tu, pengine, alitakiwa kuongeza kidogo tu ujasiri.
 
Chukulia kuwa hujui Kingereza, utdhubutu kwenda kwenye nchi wasioongea Kiswahili bali English pekee bila kuwa na mkalimani?

Jipe hiyo changamoto uone matokeo yake. Nenda labda Zambia au Malawi. "Hutakufa", badala yake utajua wewe ni mbunifu zaidi ya ulivyokuwa ulivyojikadiria.

Mwisho wa siku utagundua kuwa:
1. Wewe ni jasiri
2. Watu wengi ni wema zaidi ya ulivyokuwa ukifikiri
3. Umebuni mbinu ya kukusaidia kufikisha ujumbe kwa watu msiongee lugha moja
4. Umefanikiwa kuwasiliana na watu wote uliopaswa kuwasiliana nao japo hujui lugha yao na wao hawaijui lugha yako

Kama Wachina wameweza, na Watanzania nao wanaweza.
Nilienda Brazil na wanazungumza kireno! Ilikuwa shida kwa vile vibinti, nikagundua mawasiliano ni muhimu sana CC To yeye (acha makasiriko)
 
Rahisi sana mbona, unaenda Finland hujui Finnish na una-adapt mazingira, unajifunza na ku-tune akili yako kuendana na mazingira, mwisho wa siku unayafurahia maisha.
Perkelle
 
Hawa wafanya biashara wanaoenda China tena wengine ni darasa la saba wanaongea lugha gani?
Naamini karibia kila mtu anaweza kufanya hilo, ila huwa ninahisi kitu kinachotukwamisha Watanzania ni uoga! Wale wanaothubutu kufanya hivyo ni wajasiri.

Utakuta mtu wakati mwingine ana hela na anajua English, lakini hatathubutu kwenda South Africa kwa mara ya kwanza bila mwenyeji. Nahisi Watanzania wengi tunasumbuliwa na "the so called fear of the unknown "
 
Back
Top Bottom