Unaweza kutumia njia kukamata cheating lovers

Hakuna haja ya kutafuta ugonjwa wa moyo, we ni kutulia tu, ukifuailia sana vidonda vya tumbo hivi hapa!
 
Dah ila hii ni balaa, wasiowaaminifu mmeipata hii?
 
Dah ila hii ni balaa, wasiowaaminifu mmeipata hii?

Nilijua comment uliyoandika kabla ya hii ulikuwa hujaisikiliza.

Nimesikiliza nimebaki kucheka na kusikitika. Huyo dada anaweza kujiua hivi hivi.

OOoohh my God, hii mbaya ati! Watu acheni kuiba, siku za mwizi arobaini!!!
sio kuacha kuiba tu pia waache kuibiwa.
Inakuwa ngumu sababu siku zote mmoja(mwizi au mgawaji) anakuwa strong mmoja anakuwa weak.
 
Zing Imetulia, lazima uchanganyikiwe fumanizi mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…