Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vigezo: Ufaulu wako uanzieJe unaweza kuwa lecturer kama una degree? Gpa ya 4.2
Je unaweza kuwa lecturer kama una degree? Gpa ya 4.2
Kuwa tutorial unalipwa au?
Totorio kazi yao ni kutotoa tuuKuwa tutorial unalipwa au?
Shahada ya miaka mitano then nilipwe 1.8M ! Bora nibaki na degree yangu moja kwani napata zaidi ya hiyoHauwezi kuwa lecturer (mhadhiri) hii itakuhitaji angalau uwe na elimu kiwango cha umahiri (master's degree) na uwe umeandika machapisho ya kutosha kukidhi vigezo vya average points kupitia njia hii au njia rahisi kabisa ni kufika elimu kiwango cha uzamivu (Doctor of Philosophy, PhD) hapa moja kwa moja unakuwa mhadhiri. Kwa wewe utakuwa tutorial assistant (mkufunzi msaidizi).
Pia nimeona umeuliza kuhusu malipo,
Vyuo vya umma(Tanzania) kama chuo kikuu cha Dar es Salaam unalipwa kuanzia viwango vifuatavyo kabla ya makato;
Shahada ya miaka mitatu - Tshs. 1.6 MShahada ya miaka minne - Tshs. 1.7 MShahada ya miaka mitano - Tshs. 1.8 M
Hauwezi kuwa lecturer (mhadhiri) hii itakuhitaji angalau uwe na elimu kiwango cha umahiri (master's degree) na uwe umeandika machapisho ya kutosha kukidhi vigezo vya average points kupitia njia hii au njia rahisi kabisa ni kufika elimu kiwango cha uzamivu (Doctor of Philosophy, PhD) hapa moja kwa moja unakuwa mhadhiri. Kwa wewe utakuwa tutorial assistant (mkufunzi msaidizi).
Pia nimeona umeuliza kuhusu malipo,
Vyuo vya umma(Tanzania) kama chuo kikuu cha Dar es Salaam unalipwa kuanzia viwango vifuatavyo kabla ya makato;
Shahada ya miaka mitatu - Tshs. 1.6 MShahada ya miaka minne - Tshs. 1.7 MShahada ya miaka mitano - Tshs. 1.8 M