Unaweza kuwasaidia ndugu waliokukataa

Unaweza kuwasaidia ndugu waliokukataa

skills man

Member
Joined
Nov 10, 2024
Posts
89
Reaction score
236
Mtu ambaye amekutesa maisha ya utotoni Mwako hata hela ya Shule hakukupa akiamini huwez fika kokote
Chumba nilichokua nakaa alikipingasha akisema maisha magumu hivyo chumba chake kingemsaidia maisha

Watoto wake aliwasomesha International school matokeo yake hakuna aliyefika chuo Mimi niliyosoma kayumba nikaenda advance mpka chuo kikuu nikamaliza hakunisaidia kitu akijua sitofika kokote .

Nikapata ajira haikuchukua hata mwezi serilikalini katika jeshi moja wapo la ulinzi ,nikaenda depo hata kunitafuta Wala kuniuliza Niko wapi, nikamaliza depo.

Mda huo watoto wake wapo nyumbani Mimi kanifukuza akisema anataka kupangisha kumbuka nilelewa kituo Cha watoto ya tima nilijepeleka mwenyewe.
Nitaludi........
 
Mtu ambaye amekutesa maisha ya utotoni Mwako hata hela ya Shule hakukupa akiamini huwez fika kokote
Chumba nilichokua nakaa alikipingasha akisema maisha magumu hivyo chumba chake kingemsaidia maisha .
Watoto wake aliwasomesha International school matokeo yake hakuna aliyefika chuo Mimi niliyosoma kayumba nikaenda advance mpka chuo kikuu nikamaliza hakunisaidia kitu akijua sitofika kokote .
Nikapata ajira haikuchukua hata mwezi serilikalini katika jeshi moja wapo la ulinzi ,nikaenda depo hata kunitafuta Wala kuniuliza Niko wapi, nikamaliza depo.
Mda huo watoto wake wapo nyumbani Mimi kanifukuza akisema anataka kupangisha kumbuka nilelewa kituo Cha watoto ya tima nilijepeleka mwenyewe.
Nitaludi........
Pole, Maisha ni Somo. Kua tu na Roho ya Uruma, unanaweza wasaidia lakini kwa Moyo wa kibinadamu ila usiwakumbatie, wasaidie wakiwa mbali na wewe.
 
Mtu ambaye amekutesa maisha ya utotoni Mwako hata hela ya Shule hakukupa akiamini huwez fika kokote
Chumba nilichokua nakaa alikipingasha akisema maisha magumu hivyo chumba chake kingemsaidia maisha .

Watoto wake aliwasomesha International school matokeo yake hakuna aliyefika chuo Mimi niliyosoma kayumba nikaenda advance mpka chuo kikuu nikamaliza hakunisaidia kitu akijua sitofika kokote .

Nikapata ajira haikuchukua hata mwezi serilikalini katika jeshi moja wapo la ulinzi ,nikaenda depo hata kunitafuta Wala kuniuliza Niko wapi, nikamaliza depo.

Mda huo watoto wake wapo nyumbani Mimi kanifukuza akisema anataka kupangisha kumbuka nilelewa kituo Cha watoto ya tima nilijepeleka mwenyewe.
Nitaludi........
Wasaidie ili utue mzigo moyoni mwako. Ila Mungu alikuwa na sababu kukupitisha hiyo njia (NDIYO MAANA UPO HIVYO LEO)
 
Utamalizia lini? Kwa sasa yani watoto wanaotengwa kwa sasa ni wachache wanaotoboa. Mshukuru sana Mwenyezi Mungu angalau unapata chochote kitu
 
Mtu ambaye amekutesa maisha ya utotoni Mwako hata hela ya Shule hakukupa akiamini huwez fika kokote
Chumba nilichokua nakaa alikipingasha akisema maisha magumu hivyo chumba chake kingemsaidia maisha

Watoto wake aliwasomesha International school matokeo yake hakuna aliyefika chuo Mimi niliyosoma kayumba nikaenda advance mpka chuo kikuu nikamaliza hakunisaidia kitu akijua sitofika kokote .

Nikapata ajira haikuchukua hata mwezi serilikalini katika jeshi moja wapo la ulinzi ,nikaenda depo hata kunitafuta Wala kuniuliza Niko wapi, nikamaliza depo.

Mda huo watoto wake wapo nyumbani Mimi kanifukuza akisema anataka kupangisha kumbuka nilelewa kituo Cha watoto ya tima nilijepeleka mwenyewe.
Nitaludi........
Wasaidie tuu,hayo mapitio ndio mafanikio Yako.Mimi nilipitia kama hayo, watoto wa mjomba na mjomba pia wananiona Sasa ni mtu Muhimu,nashukuru Mungu sana.Sina stress na maisha yanasonga,na utazidishiwa mkuu.
 
Pole, Maisha ni Somo. Kua tu na Roho ya Uruma, unanaweza wasaidia lakini kwa Moyo wa kibinadamu ila usiwakumbatie, wasaidie wakiwa mbali na wewe.
Mimi naona amove on na maisha yake
 
Solders we have good heart but we don't trust anybody we saidia kadri uwezavyo na utakavyo undugu uwe ktk salamu tu usijipendekeze wala usiruhusu wajipendekeze, we wasapot wanae uyo ye msaidie kupitia wanae usimpe kitu direct maana mliishi vyema na watt wake
 
Yeye kukutesa ilikuimarisha na kukufanya upambane zaidi kuliko watoto wake. Kwa hiyo yeye ni sehemu ya wewe kutoboa. Unaweza kumsaidia kwenye shida kadri ya nafasi yako, hasa ugonjwa na msiba
 
Back
Top Bottom