Unaweza Kuwataja Hawa Galacticos Wote?

Mswalie mtume... Ndugu yangu utaenda motoni bure. Yaani unajaribu kumfananisha football master gaucho na zidane? Astaghafilulah.... Gaucho ndo mchezaji wa mwisho mfalme wa mpira.ambaye alizaliwa baada ya muingiliano wa alien na human being.sijui kama umenielewa

Zizo ndio kiboko yao. Acha uyo minjino anachoweza yeye kupiga kanzu na kukenuameno tu.
 
Zidane bado sana kumfikia huyo mtume wa mwisho katika football


Cpendi kum2kuza mchezaji na kumuita eti Nabii. Kwangu mimi wachezaji bora kuwahi kutokea ni Maradona na Messi hawa ndio wameutendea haki mpira.

1 Messi
2 Diego Armando
3 pele and zidane

Gaucho ata 10 bora ya wachezaji wa muda wote humpati hata kwa tochi.
 

Mchezaji gani hata top 10 ya wachezaji bora wa muda wote hayumo 😂😂
Zidane unampata kama co watano basi wa 6.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…