ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hili gari mwijaku🤣🤣
Cha kushangaza anayebeza lile la Ruto alisifia hili la UDSM. Yani huu Uzi ni blind patriotism na hatred tupu kutoka kwa majirani.🤣🤣
Yallah!!...
Nimeishia la saba B ila naweza kutengeneza zaidi ya hili
Hii ni chuma ya mjerumani, German Machine💪
Kazi nzuri kwa kuanzia, pia kongole kwa serikali kusapotiTuache mzaha, teknolojia ya magari Kwa Africa Bado sana.Sasa hata kama ni uzalendo hili ndio gari gani Sasa? 🤣🤣🤣🤣
Wacha Ruto aendelee kuwa Mzalendo ila binafsi siwezi kutoa pesa yangu kununua matoi ya kuchezea Watoto
View: https://twitter.com/AfricaViewFacts/status/1698380369911758890?t=9af96UpwmDrGTs-EEXJO2Q&s=19View attachment 2738659View attachment 2738660View attachment 2738661View attachment 2738662