M makaptula JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 200 Reaction score 66 Feb 5, 2014 #21 issa saika kabuka said: Nina ugonjwa wa kuuliza mambo yenye akili,,ningekuwa mjinga misingeuliza. Click to expand... Swali lako la msingi sana lakin nafikiri wengi hawajakuelewa
issa saika kabuka said: Nina ugonjwa wa kuuliza mambo yenye akili,,ningekuwa mjinga misingeuliza. Click to expand... Swali lako la msingi sana lakin nafikiri wengi hawajakuelewa
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,185 Reaction score 37,239 Feb 5, 2014 #22 Njoo nikupakate kijana....
K Kiparaa JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 384 Reaction score 111 Feb 5, 2014 #23 Ndio. Kwa biashara halali ya fasta fasta nayoijua ni Kuokota chupa tupu za maji. Unachohitaji ni 'kigunia' chako cha kuhifadhia chupa then unaingia kitaa tayari kwa kazi
Ndio. Kwa biashara halali ya fasta fasta nayoijua ni Kuokota chupa tupu za maji. Unachohitaji ni 'kigunia' chako cha kuhifadhia chupa then unaingia kitaa tayari kwa kazi