twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
Ni kisa cha kweli kunarafiki yangu wa kiume alijiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi na msichana ambaye alikutana nae wakiwa wanachart facebook,na ilichukua mda mpaka anamtongoza,wakakubaliana na hata kushiririki mechi wameshiriki mara moja bt baada ya hapo huyo rafiki yangu alikuwa anamuda tena na mawasiliano na huyo msichana kwenye simu mpaka hajisikie,mpaka siku msichana hakamwambia ninamazungumzo na yy,rafiki akaenda akakutana nae sasa walipo kutana msichana akamuuliza kwa nn amebadilika?rafiki yangu akajibu kwasasa hana hisia zozote za kimapenzi na msichana yoyote yule,je ni kwanini ipo hivyo?