milcyphina_tz
Member
- May 24, 2019
- 12
- 1
Habari ndugu zangu..
Mimi nimeamua kujishughulisha na biashara ya logo za nguo kama ilivyo African boy ya Jux
Lakini mimi sitaki kujishughulisha na logo moja tu kwasababu nina mawazo mengi
Naombeni mnishauri jinsi ya kuzipangilia yaani ipi itoke ipi ifate na kwenye kuzitoa zipishane kwa muda gani na ninawezaje kuzi manage zote ziuze kwa pamoja
Ni hivyo tu ndugu zangu
Mimi nimeamua kujishughulisha na biashara ya logo za nguo kama ilivyo African boy ya Jux
Lakini mimi sitaki kujishughulisha na logo moja tu kwasababu nina mawazo mengi
Naombeni mnishauri jinsi ya kuzipangilia yaani ipi itoke ipi ifate na kwenye kuzitoa zipishane kwa muda gani na ninawezaje kuzi manage zote ziuze kwa pamoja
Ni hivyo tu ndugu zangu