Unawezaje kuishi na mtu ambaye huna hisia naye?

Unawezaje kuishi na mtu ambaye huna hisia naye?

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Hii kitu inanitesa sana, binti wa watu mzuri kabisa, hana makuu, mpole, heshima na ana kila sifa ya kuwa wife material,

Tatizo kubwa niko nalo ni kwamba sina hisia naye, sina wivu naye hata kidogo, kuishi naye ni kama nimelazimishwa ni vile tu sina sababu ya kuachana naye, na kuna mengi nimefanya naye hii kitu inafanya iwe vigumu kuchukua maamuzi yeyote.

Wakuu uzi wa kwenu huu ushauri ndio kitu muhimu sana kwa wakati huu.

Je, unawezaje kuishi na mtu ambaye huna hisia naye?


Cc Zero IQ.
 
Hichi unachokipitia niliwah kupitia nilicho gundua sababu ni moja tu Ni uzinzi wa kiwango Cha Hali ya juu .!

Ukiwa mtu wa wanawake wengi aisee kukaa na mwanamke mmoja afu nyumba moja iwe umeoa au sogea tuishi Ni zigo zito Sana kuzid alilotwishwa January Makamba na Tanesco
 
Umeishi nae kwa muda gani? Na hali ya kutomhitaji imeanza baada ya muda gani?
Mwanzo ilikuaje?
Mwaka wa 2 sasa, hali hiyo tangu muda tu mkuu, nilikuwa najipa moyo kwamba nitamzoea lakini wapi nimegonga mwamba
 
Hichi unachokipitia niliwah kupitia nilicho gundua sababu ni moja tu Ni uzinzi wa kiwango Cha Hali ya juu .!

Ukiwa mtu wa wanawake wengi aisee kukaa na mwanamke mmoja afu nyumba moja iwe umeoa au sogea tuishi Ni zigo zito Sana kuzid alilotwishwa January Makamba na Tanesco
Ni mzigo mzito mkuu tena mzigo mzito sanaa
 
Hichi unachokipitia niliwah kupitia nilicho gundua sababu ni moja tu Ni uzinzi wa kiwango Cha Hali ya juu .!

Ukiwa mtu wa wanawake wengi aisee kukaa na mwanamke mmoja afu nyumba moja iwe umeoa au sogea tuishi Ni zigo zito Sana kuzid alilotwishwa January Makamba na Tanesco
Sio kwamba hana hisia nae. His mind imezoea wanawake wengi. There for he is not husband material.. he is a playboy
 
Hii kitu inanitesa sana, binti wa watu mzuri kabisa, hana makuu, mpole, heshima na ana kila sifa ya kuwa Wife material,

Tatizo kubwa niko nalo ni kwamba sina Hisia nae,sina wivu nae ata kidogo,
Kuishi nae ni kama nimelazimishwa ni vile tu sina sababu ya kuachana nae, na kuna mengi nimefanya nae hii kitu inafanya iwe vigumu kuchukua maamuzi yeyote. .

Wakuu uzi wa kwenu huu Ushauri ndio kitu muhimu sana kwa wakati huu,
Je unawezaje kuishi na mtu ambae huna hisia nae?


Cc Zero IQ.
Siku utakapojua mahusiano yanayodumu yanaenda beyond hisia. Ndipo utajua hiyo hali ya kawaida sana.
One day utataman akupende but then it will be too late
 
Siku utakapojua mahusiano yanayodumu yanaenda beyond hisia. Ndipo utajua hiyo hali ya kawaida sana.
One day utataman akupende but then it will be too late
Nipe ushauri wako mkuu
 
Niliwahi kuwa na mwanmke wa hvyo .mwanmke anaona aibu yule siyo kidgo hata kushika dushe Langu anaogopa hata kuachia paupuchi ipunge upepo awez fanya mbele yangu lolote hata kuwa uchi

Yaani ni mzuri na mkrimu ila aibu katk swal la uchakataji limemkost
 
Niliwahi kuwa na mwanmke wa hvyo .mwanmke anaona aibu yule siyo kidgo hata kushika dushe Langu anaogopa hata kuachia paupuchi ipunge upepo awez fanya mbele yangu lolote hata kuwa uchi

Yaani ni mzuri na mkrimu ila aibu katk swal la uchakataji limemkost
Hakika,
Niko hivyo pia, mwanamke cool Sana hafai.

Niliwai kua na msabato mmoja, alinisababishia nikamcheat na rafk ake maana alikua mshamba mshamba kunako faragha[emoji4]
 
Back
Top Bottom