Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Huenda ulipoamka asubuhi ulisafisha kunywa chako vyema kabisa.
Mpaka kufikia nyakati za jioni, labda kwasababu ya vyakula mbalimbali ulivyokula hapo katikatika, je, unawezaje kujua kwamba sasa kwa muda huu harufu ya kinywa inaweza kua mbaya na nzito na ikawa kero kwa wengine?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Mpaka kufikia nyakati za jioni, labda kwasababu ya vyakula mbalimbali ulivyokula hapo katikatika, je, unawezaje kujua kwamba sasa kwa muda huu harufu ya kinywa inaweza kua mbaya na nzito na ikawa kero kwa wengine?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.