Unawezaje kujua ubora wa sufuria za kupikia?

Unawezaje kujua ubora wa sufuria za kupikia?

Mkononi

Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
10
Reaction score
0
Kuna baadhi ya sufuria za kupikia hutoa kemikali wakati wa kupika chakula nakuchanganyika hivyo kupelekea madhara kama kansa kwa mlaji, wajuzi tuwekeni sawa kwenye hili.
 
Kuna baadhi ya sufuria za kupikia hutoa kemikali wakati wa kupika chakula nakuchanganyika hivyo kupelekea madhara kama kansa kwa mlaji, wajuzi tuwekeni sawa kwenye hili.
Usisahau kupika kwa kutumia miiko ,upawa wa mbao na sio plastic wala chuma

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Back
Top Bottom