Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Natafta namna ya kutrack sms za whatsup mwenye maujuzi anisaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
whatsapp sio wajinga namna hiyo, whatsapp haisupport matumizi ya account moja kwenye device m bili kwa wakati mmoja, pindi tu atakapo verify matumizi ya simu mpya simu ya zamani italoose acces so mwenye simu atajua tu na atarequest acces upya then kwa huyu wa pili ataloose acces tena. so jibu ni hapamna huwezi soma mssages za mtukama nime kuelewa vizuri unamanisha unataka kupata sms za mtu mwingine na ukazisoma.if yes
chukuwa simu nyingine inayo support whatsapp instal wahatsapp ukifika sehemu ya kuweka number zako za line iliyo kwenye simu usifanye hivyo badala yake weka namba za mtu unateka kusoma sma zake hakikisha una simu yake hapo whatsapp wata tuma code kwa njia ya sms ili ku veryfy na kuendelea na installation zi andike hizo namba za verfication zitakazo tumwa kwenye namba ya unaetaka kusima sms zake then malizia installation off you go.futa sms ya code zilizotumwa kwake,kwanzia hapo utapokea sms zote atakazo tumiwa ila hutaweza kupata anazo zituma yeye.
! duh !!! mkuu networker, asante kwa GPS.
lakini ninaona kama ninaanza kupata ugonjwa wa BP!
kama nime kuelewa vizuri unamanisha unataka kupata sms za mtu mwingine na ukazisoma.if yes
chukuwa simu nyingine inayo support whatsapp instal wahatsapp ukifika sehemu ya kuweka number zako za line iliyo kwenye simu usifanye hivyo badala yake weka namba ;za mtu unateka kusoma sma zake hakikisha una simu yake hapo whatsapp wata tuma code kwa njia ya sms ili ku veryfy na kuendelea na installation zi andike hizo namba za verfication zitakazo tumwa kwenye namba ya unaetaka kusima sms zake then malizia installation off you go.futa sms ya code zilizotumwa kwake,kwanzia hapo utapokea sms zote atakazo tumiwa ila hutaweza kupata anazo zituma yeye.
whatsapp sio wajinga namna hiyo, whatsapp haisupport matumizi ya account moja kwenye device m bili kwa wakati mmoja, pindi tu atakapo verify matumizi ya simu mpya simu ya zamani italoose acces so mwenye simu atajua tu na atarequest acces upya then kwa huyu wa pili ataloose acces tena. so jibu ni hapamna huwezi soma mssages za mtu
Natafta namna ya kutrack sms za whatsup mwenye maujuzi anisaidie
Ha haa haaa! Utajipa ugonjwa wa moyo bure hawa mademu ni wakuwaacha tu.
Kwanza huwezi kusoma sms za mtu mwingine hata ufanyaje.
Pasipo aibu unatoa elimu ya uhalifu!. Tafakari haya uliyoyaandika, jiulize yana tija kwako? Au kwa taifa? !
Lakini hata uliyo yaandika si kweli. Kufungua account kwa kutumia namba ya mtu mwingine manake sms zitakwenda kwenye hiyo namba nyingine na si kwenye simu uliyofungulia account.
Ushauri kwa wote! Hivi vitu mnavyoviita maujanja siyo maujanja ni maujjinga!. Tusitoe elimu ya uhalifu hapa hata kama unataaluma ya uhalifu. Haya mambo yataturudia wenyewe
kama nime kuelewa vizuri unamanisha unataka kupata sms za mtu mwingine na ukazisoma.if yes
chukuwa simu nyingine inayo support whatsapp instal wahatsapp ukifika sehemu ya kuweka number zako za line iliyo kwenye simu usifanye hivyo badala yake weka namba za mtu unateka kusoma sma zake hakikisha una simu yake hapo whatsapp wata tuma code kwa njia ya sms ili ku veryfy na kuendelea na installation zi andike hizo namba za verfication zitakazo tumwa kwenye namba ya unaetaka kusima sms zake then malizia installation off you go.futa sms ya code zilizotumwa kwake,kwanzia hapo utapokea sms zote atakazo tumiwa ila hutaweza kupata anazo zituma yeye.
whatsapp sio wajinga namna hiyo, whatsapp haisupport matumizi ya account moja kwenye device m bili kwa wakati mmoja, pindi tu atakapo verify matumizi ya simu mpya simu ya zamani italoose acces so mwenye simu atajua tu na atarequest acces upya then kwa huyu wa pili ataloose acces tena. so jibu ni hapamna huwezi soma mssages za mtu
100% haiwezekani kabisaaa
sure mkuu 100% not possible namiliki simu mbili niliwahi kufanya hivo .. ni impossible
whatsapp sio wajinga namna hiyo, whatsapp haisupport matumizi ya account moja kwenye device m bili kwa wakati mmoja, pindi tu atakapo verify matumizi ya simu mpya simu ya zamani italoose acces so mwenye simu atajua tu na atarequest acces upya then kwa huyu wa pili ataloose acces tena. so jibu ni hapamna huwezi soma mssages za mtu
Pasipo aibu unatoa elimu ya uhalifu!. Tafakari haya uliyoyaandika, jiulize yana tija kwako? Au kwa taifa? !
Lakini hata uliyo yaandika si kweli. Kufungua account kwa kutumia namba ya mtu mwingine manake sms zitakwenda kwenye hiyo namba nyingine na si kwenye simu uliyofungulia account.
Ushauri kwa wote! Hivi vitu mnavyoviita maujanja siyo maujanja ni maujjinga!. Tusitoe elimu ya uhalifu hapa hata kama unataaluma ya uhalifu. Haya mambo yataturudia wenyewe