JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Kuna vitu kadhaa vinavyokuwezesha useme spark plug ni mbovu au lah.
Hebu tuziangalie hapa haraka haraka.
1. Nyufa kwenye Insulator
Ukiikuta spark plug ina nyufa kwenye Insulator ibadilishe.
Spark ikiwa na cracks kwenye Insulator ina maana kuna muda inaweza kuleak voltage na kuignite kabla ya kufika mwisho wa central electrode. Hivyo haitochoma mafuta vizuri.
Mara nyingi spark plug huweka nyufa sababu ya kukazwa sana [Overtightening].
2. Kumeguka au kuisha kwa Insulator tip.
Hii mara nyingi hutokea kama kuna preignition yaani mafuta kuungua kabla ya spark plug kutema cheche. Na hii hutokea endapo joto linakuwa na kali sana kwenye combustion chamber.
3. Kuisha kwa Central na/au Side electrode.
Kama Central au side electrode ikilika basi itapelekea gap kuwa kubwa na hivi ndio huwa spark plug zinaisha katika matumizi ya kawaida.
Kujua kama gap limeongezeka au limepungua ni mpaka uwe na proper tool ya kufanya hivyo. Mara nyingi gap huwa ni dogo sana around 1mm hivyo adjustement ndogo sana ya gap inaweza kuathiri hizo plug.
Ukiwa na gapping tool kama hii yangu unaweza kujua kama spark plug zina gap kubwa au dogo kuliko linalotakiwa.
Kuhusu spark plug mbovu naishia hapo.
Nyongeza
Corona Discharge Stain
Hiki si kitu kigeni kwa wengi mliowahi kubadilisha plug.
Wengi wakiona spark plug ina rangi hiyo huwa wanasema ni mbovu hata kama sehemu zingine zote ipo fresh. Lakini kiuhalisia plug kuwa hivyo wala siyo ubovu.
Hizo ni deposit tu, Zinaweza kuwa deposit za Oil kama oil inavuja, additives zilizopo kwenye mafuta au particles zingine ambazo huvutwa hapo sababu ya magnetic effect inayozalishwa na high current inayopita ndani ya Central electrode.
Pia sijazungumzia vitu vingine kama spark plug kuwa na Oil, Carbon deposit n.k. sababu vingi ni vitu ambavyo kama matatizo fulani kwenye gari yakirekebishwa hizo deposit hazitaendelea kuonekana kwenye spark plugs.
Ninayo pia spark tester
Hii ni moja wapo ya best tool ambayo inaweza kutumika kuidentify matatizo ya mfumo wa ignition hasa ignition coils, spark plug wires na vitu vingine kwenye mfumo wa ignition with exception ya spark plug.
Hiyo inaweza kuidentify kama inatoa voltage inayotakiwa au lah.
DIYers
Fine, Umeamua kujibadilishia spark plug mwenyewe, basi usizirushe kama unatupa taka shimoni.
Unaporusha plug kwenye shimo, Side electrode inabend na hivyo kupelekea gap kuwa dogo.
Unaweza ukanunua plug mpya. The moment unamaliza kufunga, gari ikawa na misi mpaka ukahisi umepigwa hizo plug.
Lakini kumbe shida ni wewe mwenyewe.
Mwisho.
1. Tunafanya Diagnosis na kurekebisha gari aina yotote.
Engine Diagnosis Tsh. 30,000/=
Full Systems Tsh. 50,000/=
2. Kuuza GPS trackers na Security Systems zingine.
3. Ushauri.
4. Check up kwa wanaonunua magari n.k.
Tupo Dar, Magomeni Mwembechai.
+255 621 221 606
Karibu sana.
Hebu tuziangalie hapa haraka haraka.
1. Nyufa kwenye Insulator
Ukiikuta spark plug ina nyufa kwenye Insulator ibadilishe.
Spark ikiwa na cracks kwenye Insulator ina maana kuna muda inaweza kuleak voltage na kuignite kabla ya kufika mwisho wa central electrode. Hivyo haitochoma mafuta vizuri.
Mara nyingi spark plug huweka nyufa sababu ya kukazwa sana [Overtightening].
2. Kumeguka au kuisha kwa Insulator tip.
Hii mara nyingi hutokea kama kuna preignition yaani mafuta kuungua kabla ya spark plug kutema cheche. Na hii hutokea endapo joto linakuwa na kali sana kwenye combustion chamber.
3. Kuisha kwa Central na/au Side electrode.
Kama Central au side electrode ikilika basi itapelekea gap kuwa kubwa na hivi ndio huwa spark plug zinaisha katika matumizi ya kawaida.
Kujua kama gap limeongezeka au limepungua ni mpaka uwe na proper tool ya kufanya hivyo. Mara nyingi gap huwa ni dogo sana around 1mm hivyo adjustement ndogo sana ya gap inaweza kuathiri hizo plug.
Ukiwa na gapping tool kama hii yangu unaweza kujua kama spark plug zina gap kubwa au dogo kuliko linalotakiwa.
Kuhusu spark plug mbovu naishia hapo.
Nyongeza
Corona Discharge Stain
Hiki si kitu kigeni kwa wengi mliowahi kubadilisha plug.
Wengi wakiona spark plug ina rangi hiyo huwa wanasema ni mbovu hata kama sehemu zingine zote ipo fresh. Lakini kiuhalisia plug kuwa hivyo wala siyo ubovu.
Hizo ni deposit tu, Zinaweza kuwa deposit za Oil kama oil inavuja, additives zilizopo kwenye mafuta au particles zingine ambazo huvutwa hapo sababu ya magnetic effect inayozalishwa na high current inayopita ndani ya Central electrode.
Pia sijazungumzia vitu vingine kama spark plug kuwa na Oil, Carbon deposit n.k. sababu vingi ni vitu ambavyo kama matatizo fulani kwenye gari yakirekebishwa hizo deposit hazitaendelea kuonekana kwenye spark plugs.
Ninayo pia spark tester
Hii ni moja wapo ya best tool ambayo inaweza kutumika kuidentify matatizo ya mfumo wa ignition hasa ignition coils, spark plug wires na vitu vingine kwenye mfumo wa ignition with exception ya spark plug.
Hiyo inaweza kuidentify kama inatoa voltage inayotakiwa au lah.
DIYers
Fine, Umeamua kujibadilishia spark plug mwenyewe, basi usizirushe kama unatupa taka shimoni.
Unaporusha plug kwenye shimo, Side electrode inabend na hivyo kupelekea gap kuwa dogo.
Unaweza ukanunua plug mpya. The moment unamaliza kufunga, gari ikawa na misi mpaka ukahisi umepigwa hizo plug.
Lakini kumbe shida ni wewe mwenyewe.
Mwisho.
1. Tunafanya Diagnosis na kurekebisha gari aina yotote.
Engine Diagnosis Tsh. 30,000/=
Full Systems Tsh. 50,000/=
2. Kuuza GPS trackers na Security Systems zingine.
3. Ushauri.
4. Check up kwa wanaonunua magari n.k.
Tupo Dar, Magomeni Mwembechai.
+255 621 221 606
Karibu sana.