sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Sitaki kupoteza muda wenu ni hivi!
Jana majira ya saa mbili za usiku nilifika kwenye ofisi za NMB maeneo ya Himo pale kwenye ATM Kwa lengo kutoa kapesa kidogo Kwa lengo la kununua KITOCHI cha Konyagi pale Mombasa Highway.
Nilishangaa kuingiza kadi kwenye ATM na kutoa pesa Ile napapasa macho nakuta kiasi cha shilingi elfu Kumi kimeachwa hapo tunapowekaga kadi tunapokuwa tunahesabu pesa hasa pale tunapo toaga mzigo mkubwa.
Kilichonishangaza kama sio ugonjwa wa Akili mtu unawezaje kwenda kwenye ATM kutoa pesa, utoe pesa Yako halafu uisahau hapo hapo ulipoitolea uondoke na kadi yako?
Jamani matatizo ya ugonjwa wa Akili ni makubwa na yanazidi kujitokezaa. Ninawasihi wenye mamlaka waache kuwasimanga vijana na kuwasema ovyo Ili janga la kitaifa watu wanaumwa.
Jana majira ya saa mbili za usiku nilifika kwenye ofisi za NMB maeneo ya Himo pale kwenye ATM Kwa lengo kutoa kapesa kidogo Kwa lengo la kununua KITOCHI cha Konyagi pale Mombasa Highway.
Nilishangaa kuingiza kadi kwenye ATM na kutoa pesa Ile napapasa macho nakuta kiasi cha shilingi elfu Kumi kimeachwa hapo tunapowekaga kadi tunapokuwa tunahesabu pesa hasa pale tunapo toaga mzigo mkubwa.
Kilichonishangaza kama sio ugonjwa wa Akili mtu unawezaje kwenda kwenye ATM kutoa pesa, utoe pesa Yako halafu uisahau hapo hapo ulipoitolea uondoke na kadi yako?
Jamani matatizo ya ugonjwa wa Akili ni makubwa na yanazidi kujitokezaa. Ninawasihi wenye mamlaka waache kuwasimanga vijana na kuwasema ovyo Ili janga la kitaifa watu wanaumwa.