realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Kama kawaida yetu sisi wa Tanzania tunapendana na Kujaliana hivyo mtu anapoazima kitu tunampatia anatumia na kisha anarudisha na wewe unaendelea kutumia.
Wengi huazimana Earphone kazini, kwenye michezo na sehemu nyingine kama hizo.
Wengine huazimana Nguo, Viatu, hereni, Na kadhalika.
Wataalamu wa Afya wameonya kitendo hicho kuwa si salama kiafya.
Kwa upande wa Earphones wataalamu wa Afya wanaeleza kuwa kitendo cha kushare earphone kinaeneza fangasi kutoka kwa mtu mwenye tatizo hilo kwenda kwa mwingine.
Tunapaswa kuwa makini wakati wote.
Wengi huazimana Earphone kazini, kwenye michezo na sehemu nyingine kama hizo.
Wengine huazimana Nguo, Viatu, hereni, Na kadhalika.
Wataalamu wa Afya wameonya kitendo hicho kuwa si salama kiafya.
Kwa upande wa Earphones wataalamu wa Afya wanaeleza kuwa kitendo cha kushare earphone kinaeneza fangasi kutoka kwa mtu mwenye tatizo hilo kwenda kwa mwingine.
Tunapaswa kuwa makini wakati wote.