BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Umewahi fika hivi karibuni mji wenyejj ndo hao wanauza maeneo yao kisarawe si ya wazaramo tenaMillion 38
Uzaramoni labda niwe nimetupiwa jini LA kunifilisi
Hahahaahah Bujibuji katika ubora wako.... Mm Nina heka kumi katikati YA dezo na kahuzeni lakini hawa jamaaaa wamenivunja Moyo Sana kwenye kilimo cha mihogo na mapapai mimi nalima wenyewe wanavuna usiku asubuhi wanauza pale gate la maliasili dezo kuwashitaki uwezi kwa sababu unaweza kutupiwa busha.....Million 38
Uzaramoni labda niwe nimetupiwa jini LA kunifilisi
Haujui viziri chief kibada hadi kisarawe 2 kilipo kiwanja ni km 3 ,ferry hadi kibada hazizidi km 15Kisarawe 2 Ni kigamboni bila shaka km 45 toka kati kati ya jiji na 3 tokaRoad ya Kimbiji means 48 km to the site. 38 M. Unapata nyumba mjimwema hama hama boma kibada mbaka twangoma. Any waya life is on.......
Ndio chief38M kisarawe?
Unaacha kibada unaenda kisaraweKisatawe ndo ipo wapi mkuu?
Milion 38Million 38 au million 3.8