Eh ama kweli. Enzi hizo pesa ya Tz inaitwa masai. Haikuwa rahisi kuwa na masai miaka hiyo. Ni matajiri wachache ndiyo walikuwa nayo. Miaka hiyo bia ilikuwa shs 1.50 cents
Eh ama kweli. Enzi hizo pesa ya Tz inaitwa masai. Haikuwa rahisi kuwa na masai miaka hiyo. Ni matajiri wachache ndiyo walikuwa nayo. Miaka hiyo bia ilikuwa shs 1.50 cents