Simple passwordHii nzito π€―
Tupe hint basi nasi tuchekeNina password 1 na ndo natumia ktk kila apps niliyopo.
Huwa sibadilishi password, lakini hii password enyewe, hata napoandika huwa nachekaga sanaa.
Sipati picha wakati najoin JF, nilivyoweka password hii walishtukajee. Woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie simpi mtu kunirekebishia Cm angu km cmfahamu, hususani masuala ya apps na vingine vinavyohitaji Neno siri.cocastic kwenye teknolojia kuna mengi sana. Taarifa zako hazivuji ukiwa unaona wala unatambua. Unaweza kuivujisha wewe mwenyewe muda wowote. Mimi aliwahi nitafuta mtu nimrekebishie akaunti yake ya Facebook (ni ke [emoji23][emoji23][emoji23]) alinipa namba na password kabisa na alinikabidhi na simu yake
Aaaah wee thubutuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupe hint basi nasi tucheke
Hicho ni kipawa tu mkuu ππ, Kama unavyojua, Usipo fanya mambo ya kitoto angali bado mtoto, Ukiwa mkubwa utafanya mambo ya kitoto na utaonekana kituko kwa jamii.Nyafwili πππ kila mtu huwa anasema kaishia darasa la tatu B lakini anachokiandika hakiendani na anachotuambia (kuhusu Elimu yake)
Ebu tuone...[emoji2]Nina password 1 na ndo natumia ktk kila apps niliyopo.
Huwa sibadilishi password, lakini hii password enyewe, hata napoandika huwa nachekaga sanaa.
Sipati picha wakati najoin JF, nilivyoweka password hii walishtukajee. Woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Story haijaishia hapo imalizie please [emoji23][emoji23]cocastic kwenye teknolojia kuna mengi sana. Taarifa zako hazivuji ukiwa unaona wala unatambua. Unaweza kuivujisha wewe mwenyewe muda wowote. Mimi aliwahi nitafuta mtu nimrekebishie akaunti yake ya Facebook (ni ke [emoji23][emoji23][emoji23]) alinipa namba na password kabisa na alinikabidhi na simu yake