Unazingatia vitu gani hasa kufanikisha malengo yako

Unazingatia vitu gani hasa kufanikisha malengo yako

Bullshit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,357
Reaction score
1,596
Mwana JF tupeane uzoefu wa haya mambo.
hivi unapokuwa na jambo unalodhamiria kulitimiza ni vitu gani hasa unavizingatia unapotaka kufanikisha malengo yako.

Karibuni Tuelimishane Jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1)Kwanza naliTweet kule Tweeter kwa lugha nayojua mimi kama nilivyo fanya hapa JF hapo chini utaona nimeandika Portifolio.. then hiyo Tweet nina i-pin kwamaana kila nikiingia nauona mpango/plan niliyopanga.

2)Naliandikia mikakati/Strategies nitazofanya kuufikia uwo mpango kwenye Phone Notebook.

3)Naingia kwa Ground kuFace reality nikiwa Guided na strategies, alternatives strategies nitazipata hukohuko kwa Ground kutegemeana na changamoto nitayokuta.

4)Asilimia 90 ya mawazo nayowaza yatachukuliwa na uwo mpango/plan/jambo ninalokusudia.

Portfolio | 2020

Sawa mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza liandike mahala, livunjevunje vipande, weke muda maalumu wa kukamilisha kila kipande/mpango kazi, ikiwezekana kila siku angalia umefikia wapi, then ukimaliza kipande una tick...
Mwana JF tupeane uzoefu wa haya mambo.
hivi unapokuwa na jambo unalodhamiria kulitimiza ni vitu gani hasa unavizingatia unapotaka kufanikisha malengo yako.

Karibuni Tuelimishane Jamani


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom