Unazingatia vitu gani hasa kufanikisha malengo yako

Bullshit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,357
Reaction score
1,596
Mwana JF tupeane uzoefu wa haya mambo.
hivi unapokuwa na jambo unalodhamiria kulitimiza ni vitu gani hasa unavizingatia unapotaka kufanikisha malengo yako.

Karibuni Tuelimishane Jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sawa mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza liandike mahala, livunjevunje vipande, weke muda maalumu wa kukamilisha kila kipande/mpango kazi, ikiwezekana kila siku angalia umefikia wapi, then ukimaliza kipande una tick...
Mwana JF tupeane uzoefu wa haya mambo.
hivi unapokuwa na jambo unalodhamiria kulitimiza ni vitu gani hasa unavizingatia unapotaka kufanikisha malengo yako.

Karibuni Tuelimishane Jamani


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…